NASEMA NAWE BY DIAMOND PLATNUMZ LYRICS!


Verse 1
Hallooooooo!!!!!!
Mmmhh!! Aah, Kutwa viguru njiani majirani wote wamekuchokaaa
Mara chumba cha fulani mtu gani we kwako usokaa
Washinda vibarazani ya wenzako kuropokaaa
Kwa kuwa umemuona Fulani ona usoo ulivyokukobokaaa
Sio mwisho vibaoni adi kwenye vigodoroo
Usio na haya usoni kote wazua migogoroo
Ivi wewe haujioni kuwa unakasoroo
Uso mchana jioni si wajuz si 2moro
Sio mwisho vibaoni kwenye vigodoroo
Usio na haya usoni kote wazua migogoroo
Ivi wewe haujioni kuwa unakasoroo
Uso mchana jioni si wajuz si aaaah!!!

Chorus
Nasema naweee x3
Uso haya nasema naweee
Umezoea (nasema naweee)
Chezea chezea (nasema nawee)
Aaah!! Umezidi (nasema naweee)
Zidi (nasema naweeee)
zidi (nasema naweee)
Diamond-Nasema-Nawe-Art
Verse 2
Mmmmmhhh, mmmh
Aahh!! Zingifuli zingifuli zinga mahala ukakaaa
Usoo mila desituri usiyejua tongozwa ukakataaa
Usio hiana fedhuri uongo umekujaaa
Kujifanya mashuhuri kumbe chaka umechakaa
Aagah!! Mwanzako mim turufu si garasa
Mwenye nyota ya umaarufu si kupapasa
Tena jokali la nguvu makarata
Lile hodari maguvu si kwasakwasa
Ooohh!!! Mwanzako mim turufu si garasa
Mwenye nyota ya umaarufu sio hozakosa
Chorus
Nasema naweee x3 (nawew nawe oohhhhhh)
Uso haya nasema naweee
Nasema naweee x 3(nawew oohhhhhh)
Nimechoka nasema nawee
Umezoea (nasema naweee)
Chezea chezea (nasema nawee)
Aaah!! Umezidi (nasema naweee)
Zidi (nasema naweeee)
Uso haya nasema naweee
Oooohhh!!! (nasema naweee)
Nasema nawee x 3 (nawew oohhhhhh)
Nimechoka nasema nawee….

2 thoughts on “NASEMA NAWE BY DIAMOND PLATNUMZ LYRICS!

Leave a comment